Monday, December 16, 2013

JOE KARIUKI ANANIKOLEZA JAMANI: BABY MADAHA

Baby Madaha ambaye ni star wa filamu Swahiliwood na pia mwanamuziki wa Bongofleva amesema kuwa mpenzi wake wa sasa Joe Kariuki kutoka nchini Kenya ambaye pia ni meneja wake na pedeshee wa label ya Candy n Candy anamkoleza sana kimapenzi  na hawezi kumuacha kamwe bali anatamani ahamie nchini Kenya kabisa.

 Akizungumza na Globalpublishers Madaha anayetamba na wimbo wa Summer Holiday kwasasa alisema "Kusema kweli huyu kaka kanikoleza jamani japo watu watachonga mengi lakini abadani sitosikiliza maneno yao, kwa kuwa awali sikuwa na uhusiano naye ila porojo za watu zilipelekea kuchukua maamuzi hayo natamani niamie Kenya ili tuwe karibu wakati wote".

                                                Baby Madaha

Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment