Friday, August 15, 2014

Sipendi Kuvaa Kufuli Na Nalichukia Sana Vazi Hilo: Irene Uwoya

Uwoya
Irene Uwoya amerudi na mpya !. Star wa filamu Tanzania Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kama chupi a.k.a kufuli.
Akizungumza na Vibe Magazine tz Uwoya anayetamba na filamu kibao amesema hapendi kuvaa kufuli na analichukia sana vazi hilo na huwezi kulikuta kabatini mwake.

Vibe Tz: Nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lako?
Uwoya: Chupi – sipendi kabisa hilo vazi.



xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Filamu ya MUME BORA tayari ipo madukani nunua nakala yako halisi sasa
Like our Facebook page Swahili World Planet for more updates about Tanzanian movie stars' latest gossips, news, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment