Thursday, May 15, 2014

Ray Amvalisha Chuchu Hans Pete Ya Uchumba.

Ray na Chuchu Hans
Mastaa wa filamu nchini  Vicent Kigosi "Ray" na Chuchu Hans wamevalishana pete ya uchumba hivi karibuni kwa mujibu wa habari mpya, Chuchu anaonekana waziwazi kabisa na pete hiyo. Inadaiwa tukio hilo lilikuwa siri ili mapaparazi wasijue huku pia mastaa wenzao wengi wakiwa hawajui.

Miezi ya hivi karibuni mastaa hao wamekuwa wakipamba vichwa vya habri vya magazeti, blogs, websites na mitandao mingine ya kijamii. Kwa upande mwingine filamu mpya inayoitwa Too Much aliyoigiza Ray na Chuchu inatarajiwa kuingia sokoni muda wowote kuanzia sasa.

No comments:

Post a Comment