Saturday, March 1, 2014

SHASTA ANATAFUTA MENEJA WA KUMSIMAMIA KATIKA KAZI ZAKE ZA FILAMU.

Shasta
Muigizaji maarufu nchini Shasta ambaye tayari ameshachezxa filamu kibao na mastaa wenzake ameamua kutafuta meneja wa kufanya nae kazi. Kwa mujibu wa Shasta mwenyewe anataka meneja atakayeweza kumuongoza vizuri katika kazi zake za filamu na mwenye upeo na uelewa mzuri kuhusu tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi kwani malengo ya Shasta ni kuwika Afrika mashariki na kimataifa pia. Shasta amecehza filamu nyingi lakini zilizomtambulisha zaidi kwenye game ni zile alizocheza kama jini.



Kama wewe unahisi unao uwezo wa kuwa meneja wa Shasta basi wasiliana nae kupitia namba hii hapa 0714583618

Unaweza pia kumpata Facebook hapa  Shasta



Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

No comments:

Post a Comment