Wednesday, May 7, 2014

Jackline Wolper Na Mtunisy Waendelea Kukimbiza Sokoni.

Jackline Wolper
Filamu Ya Tom Boy inaendelea Kufanya vizuri sokoni kutokana na watu kuichangamkia kuinunua kuona walichokifanya Jackline Wo,lper na Nice Mohamed "Mtunisy" huku wasanii wengine kama vile Abdallah M kumbillah "Muhogo Mchungu" wakifanya kweli ndani ya movie hiyo kali.

Mtunisy

No comments:

Post a Comment