Wednesday, May 28, 2014

Irene Uwoya Atoka Kimapenzi Na Dancer Wa THT, Uwoya Amtongoza Na Kumhonga Pesa, Jamaa Amsahau Demu Wake.

Uwoya na Msami
Habari mpya ni kuwa star wa filamu nchini Irene Uwoya yupo kwenye penzi zito na mwalimu wa kucheza toka Tanzania House Of Talent(THT) anayeitwa Msami. Kwa mujibu wa mpenzi wa Msami anayeitwa Rehema akihojiwa katika U Heard na Soudy Brown alisema kuwa Uwoya ndiye aliyemtongoza Msami licha ya kufahamu kuwa tayari ana mpenzi mwingine(yeye Rehema). Rehema amesema kuwa Uwoya licha ya kumtongoza Msami pia anamhonga sana pesa ndiyo maana Msami akajawa na tamaa na kumkubali kwakuwa bado yeye ana-hustle kimaisha. Rehema alisema "ni tamaa tu za vijana, si unajua tena ukiwa bado hujatoka, wanashawishika na tamaa ya hela ili apate kutoka na ajulikane

Msami

No comments:

Post a Comment