Monday, April 14, 2014

Muhidini Gurumo Afariki Dunia

Mwanamuziki mkongwe wa dansi nchini Muhidini Gurumo amefariki dunia jana jumapili tarehe 13 April baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kujaa mapafu. Gurumo amefariki akiwa na umri wa miaka 74.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amen

No comments:

Post a Comment