Sunday, April 13, 2014

Monalisa, Richie, Kupa Na Kalala Junior Ndani Ya Dodoma.

 Bango lililopo kwenye ofisi za redio ya Rasi Fm zilizopo Mkoani Dodoma
 Muigizaji Maarufu wa Filamu za Kitanzania, Single Mtambalike aka Richie akiwa ndani ya studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma wakati wasanii hao walipotembelea redio hiyo hapo jana kwaajili ya kujionea kazi zinazofanywa na kituoo hiko cha Redio cha Rasi Fm ambacho kinapatikana kwenye masafa ya 103.7 FM katika kanda ya Kati.
 Yvonne Cherry Almaarufu Kama Monalisa akiwa ndani ya Studio za Rasi Fm wakati alipotembelea studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma
 Kalala Junior akiwa katika picha ya pamoja na Mmoja wa wafanyakazi wa Kituo hicho cha Redio cha Rasi FM kinachopatikana katika masafa ya 103.7 Fm na redio hiyo inapatikana kanda ya kati
 Kupa akiwa katika studio hiyo ya Rasi FM wakati walipotembelea kituo hiko hapo jana
Wakiwa katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya wafanyakazi wa kituo hiko cha RASI FM 103.7 FM mara baada ya kumaliza mahojiano wakati walipotembelea kituo hiko cha redio hapo jana
 
 
 
 
Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more
 

No comments:

Post a Comment