Thursday, April 3, 2014

Filamu Ya Jicho Langu Toka Kwa Odama Yaingia Kwa Kishindo Sokoni Leo Hii.

Ile filamu ya Jicho Langu iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa tayari imeingia sokoni leo hii tarehe 3 mwezi wa nne, Hakikisha unanunua nakala yako halisi ya filamu hiyo kali.


Jicho langu yenye story ya kusisimua imetengenezwa na kampuni ya J-Film 4 Life chini ya Odama huku ikisambazwa na Steps Entertainment Tanzania. Mastaa ndani ya filamu hiyo ni Odama, Salim Ahmed(Gabo), Thadeo Alexander na Grace Mapunda.

No comments:

Post a Comment