Monday, April 14, 2014

Filamu Ya Jicho Langu Toka Kwa Odama Yaendelea Kutikisa Sokoni.

Filamu ya JICHO LANGU toka kwa Odama bado inadaiwa kuendelea kukimbiza sokoni kama kawa. Filamu hiyo yenye kisa cha kusisimua yupo Odama, Salim Ahmed"Gabo" Thadeo Alexernda na Grace Mapunda. Hakikisha unanunua nakala yako halisi sasa.

No comments:

Post a Comment