Hakuishia hapo aliendelea kusema kwamba sanaa sio kitu cha kukurupuka inahitaji kipaji na ubunifu wa hali ya juu,
Hivyo yeye hajutii kudumbukia kwenye Tasnia ya filamu maana hio ni
kazi aliojipangia mwenyewe kwamba ipo siku atadumbukia kwa miguu miwili na ndio tayari amshadumbukia.
kazi aliojipangia mwenyewe kwamba ipo siku atadumbukia kwa miguu miwili na ndio tayari amshadumbukia.
Ni
matumaini yake kuwa atawabeba wasanii chipukuzi kwa moyo mmoja mradi tu
wawe na vipaji vya ukweli, Yuster alisema kwa sasa hatosema mengi
anasubiri wadau muone kwanza kazi yake aliyocheza na kuwashirikisha
waigizaji nyota hapanchini,
Hapo ndipo mtakapojua kuwa anachokisema ni kweli au laa?
credit: Here
No comments:
Post a Comment