Monday, January 13, 2014

HEMEDY ALAZWA HOSPITALINI BAADA YA KUPATWA NA HOMA KALI.

Hemedy Suleimani ambaye ni star wa filamu na muziki nchini amelazwa katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni jijini Dar es salaam baada ya kupatwa na homa kali. Zuhura Gora ambaye ni model/actress na mpenzi wa Hemedy aliyasema hayo wakati akizungmza na Swahiliworldplanet huku akimuombea kipenzi chake huyo apone haraka. Picha hapo chini inamuonyesha Hemedy akiwa hospitalini

Get well soon Hemedy

Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

No comments:

Post a Comment