Thursday, December 26, 2013

MUIGIZAJI WA FILAMU YUSTER NYAKACHAKA KUWA TISHIO NA KAMPUNI YAKE YA EAGLE ENTERTAINMENT, AJA NA FILAMU MPYA NA WOLPER.

Yuster
Yuster Nyakachara ni msanii wa filamu anayekuja kwa kasi nchini kiasi cha kuwa tishio kwa mastaa wengine wakubwa kwasasa. Ukiachilia uigizaji Yuster ni mmiliki wa kampuni ya utengenezaji wa filamu iitwayo Eagle Entertainment ambayo tayari imeshatoa filamu nyingi na kwasasa inakuja na filamu mpya inaitwa Majuto Si Hasara itakayoingia sokoni hivi karibuni huku wastaa wengine wakiwa Jackline Wolper na Slim Omar

                                                                           Yuster

No comments:

Post a Comment