Tuesday, September 17, 2013

IPO SIKU NITAONGEA UKWELI KUHUSU SHIGONGO NA USHAHIDI PIA NITATOA: IRENE UWOYA

Jumamosi ya wiki iliyopita gazeti la Risasi ambalo linamilikiwa na Globalpublishers lilikuwa na habari ya actress Irene Uwoya kudaiwa kuiba simu. Uwoya anadai kuchafuliwa na Shigongo na ipo siku ataweka kila kitu wazi ili watu waujue ukweli. Kupitia Instagram Irene ambaye mwaka huu ameonekana kwenye filamu nyingi na kuanzisha kipindi cha Tv cha Paradise aliandika......

Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment