Friday, April 19, 2013

DIAMOND AITWA WIZARA YA HABARI, SANAA NA MICHEZO HUKO ZANZIBAR.

Mwanamuziki Diamond ametia team wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo Zanzibar alipoaitwa na katibu wa Wizara hiyo. Diamond aliongozana na Baby J mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka Zanzibar, Ruge Mutahaba from Clouds media group, G Love na Mr. Kusaga. Katibu huyo alisisitiza umoja kati ya wanamuziki wa bara na Zanzibar na Diamond aliitwa baada ya kuwa visiwani humo. Angalia picha............

                                                           images by thisisdiamond

No comments:

Post a Comment