Wednesday, June 11, 2014

Zena Na Betina Kutimua Kivumbi Sokoni Kesho Tarehe 12 June.

Nisha
Filamu ya ZENA NA BETINA ambayo imekuwa masikioni mwa watu kwa muda sasa kutokana na kupata promo ya kutosha kutoka kwenye media zikiwemo tv, magazeti, blogs na mitandao mingine ya kijamii inatarajiwa kuingia sokoni kesho tarehe 12 June kwa kishindo kikubwa. Filamu hiyo imetengenezwa na Nisha's Film Production huku wasanii wenye majina kama vile Salma Jabu Nisha, Manaiki Sanga, Hanifer Daudi "Jennifer wa Kanumba", Farida Sabu, Senga, Happy Nyatawe na Lumolwe Matovolwa akionyesha uwezo wao kisanaa. Usikose kununua nakala yako halisi

Like our Facebook page Swahili World Planet for more updates about Tanzanian movie stars' latest gossips, news, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment