Monday, February 24, 2014

Salma Jabu Nisha Kutoa Offer Ya Kwenda Zanzibar Kwa "Team Nisha" Baada Ya GUMZO Kutoka.

Habari za uhakika ni kuwa star mkubwa wa filamu nchini Salma Jabu Nisha ameamua kutoa offer ya kwenda Zanzibar kwa Team Nisha mara baada ya filamu yake mpya ya GUMZO kuingia sokoni tarehe 27 mwezi huu wa February. Team nisha imekuwa ikizikubalia kazi za Nisha na Nisha mwenyewe na kumsapoti kwenye kazi zake. Mtu yeyote yule huweza kujiunga na Team Nisha  WhatsApp kama unazikubali filamu za Nisha na kazi za Nisha. Nisha na Team Nisha pia hutembelea na kutoa misaada kwa wasiojiweza kama vile watoto yatima.



                                                                       Nisha
Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

No comments:

Post a Comment