Thursday, January 23, 2014

JOHARI ANADAIWA KULAZWA HOPITALINI NA ANAUMWA SANA.

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Blandina Chagula(Johari) anadaiwa kuwa amelazwa katika hospitali moja jijini Dar es salaam kutokana na kuumwa ingawa bado haijajulikana nini kinamsumbua star huyo mkongwe wa filamu Swahiliwood. kwa mujibu wa mtandao mmoja ndugu mmoja wa Johari alisema kuwa Johari anaumwa sana na amelazwa hospitali moja jijini Dar es salaam lakini alikataa kuitaja hospitali hiyo kwa kuhofia waandishi wa habari akidai watamsumbua star huyo "kwa kweli Johari anaumwa sana na tunaomba dua zenu tu" alisema ndugu huyo.

 Ugua pole Johari


Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

No comments:

Post a Comment