Thursday, October 17, 2013

SIPO TAYARI KUOLEWA KWASASA: LULU

Star mkubwa Swahiliwood Elizabeth Michael(Lulu) amesema kuwa hayupo tayari kuolewa kwasasa kwa kuwa muda bado na ukifika atafanya hivyo. Akizungumza katika show ya Mkasi inayorushwa East Africa Tv Lulu alisema "sitaki kuolewa kwasasa, muda wa kuolewa haujafika, ukifika nitafanya hivyo lakini kwasasa sipo tayari kuolewa"



No comments:

Post a Comment