Monday, September 29, 2014

Ukigombana Na Mtu Haimaanishi Na Mimi Nimkasirikie: Davina Atoa Dukuduku Moyoni

Davina
"Kuna kitu kinanishangaza sana nimechunguza baadhi ya watu wangu wa karibu wana tasnia wenzangu wanacho sana mfano NASEMA MFANO jamani labda nipo karibu na Cathy(Cathy Rupia) halafu Cathy agombane na Maya(Mayasa Mrisho) kwa mambo yao ambayo hayanihusu eti me nikiongea au kukaa karibu na Maya, Cathy akasirike inaingia akilini jamani.
Me ni mtu wa watu sijuagi kugombana nacheka na napenda kuwa na urafiki na kila mtu ambae atapenda kuwa nami coz maisha mafupi sipendi kuweka bifu za kijingajinga zitawale maisha yangu kitu kimen-ibore nitaweka wazi ninunie nikasirikie ni-block but message sent na hakika utajirekebisha..na ambae ana maugomvi na mtu ambae me sina ugomvi nae eti akasirike Why nakaa nae why namualika katika shughul zangu me siwezi kuacha coz maugomvi yenu hayanihusu...na sijui ya mbele yangu nani atanizika so kila binadamu ni ndugu yangu..SIBAGUI SICHAGUI ATAKAENIZIKA SIMJUI #nimemaliza" aliandika star huyo anayekimbiza sokoni na filamu kibao kupitia Instagram

No comments:

Post a Comment