Sunday, September 28, 2014

Faiza Ally Na Mh. Sugu Mbilinyi Wamwagana ! Faiza Afunguka Ya Moyoni Mwake.

Mh. Sugu, Faiza Ally na mtoto wao Sasha
Muigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ! well....kupiia Instagram Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema. Faiza aliandika........


No comments:

Post a Comment