Monday, September 22, 2014

Ashley Toto Uso Kwa Uso Na Diamond Platnumz Nchini Ujerumani.

Diamond na Ashley Toto
Msanii wa filamu za kiswahili nchi za Scandinavia Ashley Toto ambaye ni mkenya lakini akiwa na makazi yak nchini Denmark amekutana uso kwa uso na superstar wa muziki wa Bongofleva Tanzania Diamond Platnumz ambaye alikuwa nchini Ujerumani juzi kwa aja=ili ya show.


Wawili hao walikutana ambapo Ashley alikuwa akimsaidia kwa ukaribu mwandaaji wa show hiyo mnigeria kutokana na Ashley kuwa na uzoefu wa mabo ya u-promota.

No comments:

Post a Comment