Pages

Friday, June 6, 2014

Nuhu Mziwanda Akolea Kwenye Penzi La Shilole Na Kuwatolea Uvivu Wanaowafuatafuata.

Nuhu Mziwanda ambaye ni mwanamuziki chipukizi wa Bongofleva anaonekana kukolea vilivyo kwenye penzi la Shilole ambaye pia ni mwanamuziki na actress, kupitia mtandao mmoja wa kijamii Mziwanda ameandika maneno hayo hapo chini napia kupost picha.........................

No comments:

Post a Comment