Pages

Thursday, March 20, 2014

Kuwa Star Na Mafanikio Sio Lazima Kuwa Na Skendo, Tujiheshimu Wasanii: Nisha


Star wa filamu nchini Salma Nisha amesema kuwa baadhi mashabiki wake wanamshangaa kwa kuwa mtu wa dini baada ya kupata mafanikio kwenye filamu badala ya kufanya skendo kama baadhi ya mastaa wenzake. Nisha amesema kuwa anapenda kuwa mfano kwa wasanii wa kike kuonyesha kuwa usanii sio kujianika na kufanya mambo ya ajabu bali ni kuwa kioo cha jamii ili kuwaonyesha watu wengine kuwa sio sanaa ya wahuni bali ni sehemu ya ajira kama zilivyo kazi nyingine.



Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

No comments:

Post a Comment