Friday, March 21, 2014

Baadhi Ya Mastaa Wa Kike Nchini Wanajitongozesha: Slim Omar

Slim Omar
Star wa filamu anayekimbiza na filamu kibao Swahiliwood Slim Omar amesema kuwa baadhi ya mastaa wa kike wa filamu nchini huwa wanajitongozesha na kudai wanajishushia heshima. Akizungumza na GPL star huyo wa filamu za Nikole, Snitch na Waves Of Sorrow alisema "Ni aibu kwa mastaa wa kike, niwasihi waache hako kamchezo maana kanawashushia heshima mbele ya jamii, wasinichukie, naongea ukweli"



Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

No comments:

Post a Comment