Sunday, November 24, 2013

KAZI YA CAMERAMAN IMENIFANYA KUKUTANA NA WATU WENGI NA KUJIAMINI ZAIDI: KABUTI ONYANGO.

Kabuti Onyango ambaye ni Cameraman wa filamu nchini akiwa amefanya filamu nyingi na wasanii mbalimbali amesema kuwa kazi yake hiyo imemfanya kukutana na watu mbalimbali kwenye tasnia ya filamu nchini ambao wana majina makubwa na pia imemsaidia kujiamini zaidi katika kazi zake zinazohusu kamera.

                             Kabuti akiwa na Wastara................................
Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment