Pages

Wednesday, July 31, 2013

WILLIAM MTITU ANUNUA VIFAA VYA KISASA VYA FILAMU DUBAI(PHOTOS).

Msanii huyo maarufu nchini aliandika "Baada ya kufanikiwa kununua camera mpya kabisa ambayo inaweza kushuti quality ya 4K hapa twa-test pamoja na mtaalam wa kampuni ya Sony anaitwa Mohamed kutoka ofisi kuu Dubai hapa tukishuti mitaa/establish mbalimbali katika jiji la dubai "



Like our facebook page Swahili World Planet for more updates about Swahili movies' latest news, gossip, celebrities, features, fashions plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news

No comments:

Post a Comment