Tico ameweka picha na kuandika "Katika matembezi nimepita kwenye office kuu za GOOLE. Hiki ni moja kati ya vitu nilivyojionea. Hizi zote ni baiskeli za kampuni kwa kua office zao ninyingi ambazo zitakutaka kutembea umbali mrefu kutoka ofc moja kwenda nyingine wameweka baiskeli za bure unaitumia unaiacha popote. Hakuna kuondoka nayo. Nambie ingekua bongo zingekua zimebaki ngapi kwa mda wa wiki tuuu?"



No comments:
Post a Comment