Pages

Thursday, May 8, 2014

Lulu: BASATA Na Bodi Ya Filamu Msitubanie Sana Huu Ni Wakati Wa Uwazi Na Ukweli.

Lulu
Star machachari kunako tasnia ya filamu nchini Elizabethn Michael "Lulu" ameviomba vyombo vinavyohusika na ukuzaji na utoaji wa vibali katika tasnia ya filamu nchini vikwemo BASATA na Bodi ya Filamu Tanzania visibane sana kuhusu wasanii kuvaa nguo fupi katika filamu kwasababu hawafanyi hivyo muda wote ila hutokea kama story imetaka muigizaji avae mavazi ya aina hiyo. Vile vile Lulu amesema kuwa mabadiliko ya mazingira na wakati yanahusika kwa wasanii kubadilika kimavazi kwasababu jamii za wakati huo ni tofauti na sasa
. "Wanasema hatufuati maadili wakati kuna movies ambazo zipo theatre na watu wanaangalia hazina maadili, wao wanataka tufanye vitu kwa kudanganya wakati sasa hivi tuko dunia ambayo tuna takiwa tuweke vitu wazi, wasibane sana" alisema Lulu wakati akizungumza na GPL

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx


Filamu kali ya SIO SAWA inaingia sokoni Ijumaa hii April 2014 hakikisha unanunua nakala yako halisi.
Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and 

No comments:

Post a Comment