Jicho langu yenye story ya kusisimua imetengenezwa na kampuni ya J-Film 4 Life chini ya Odama huku ikisambazwa na Steps Entertainment Tanzania. Mastaa ndani ya filamu hiyo ni Odama, Salim Ahmed(Gabo), Thadeo Alexander na Grace Mapunda.
Thursday, April 3, 2014
Filamu Ya Jicho Langu Toka Kwa Odama Yaingia Kwa Kishindo Sokoni Leo Hii.
Jicho langu yenye story ya kusisimua imetengenezwa na kampuni ya J-Film 4 Life chini ya Odama huku ikisambazwa na Steps Entertainment Tanzania. Mastaa ndani ya filamu hiyo ni Odama, Salim Ahmed(Gabo), Thadeo Alexander na Grace Mapunda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment