Friday, January 3, 2014

MNIKOME SIJATOA MIMBA MIMI: SALMA JABU NISHA

Star wa filamu Swahiliwood Salma Jabu Nisha ameonekana kukerwa na baadhi ya magazeti na mitandao iliyoandika kuwa ametoa mimba juzi kati wakati alipokuwa akiumwa na kukimbizwa hospitali. Hata hivyo Nisha alikuwa akiumwa sana kichwa kitu ambacho mwenyewe kimemshangaza kutokana na wanaozusha kuwa ametoa mimba. Kupitia mtandao mmoja wa kijamii Star huyo wa filamu za Tikisa, Boss Tony, Pusi Na Paku na Matilda aliandika ........

"Sipendi ujinga usokuwa naa akili,kama mmekosa cha kuandika nendeni vijijini kuna watu kibao wanapata shida na kodi zetu zinaliwa na waroho wa mali za wananchi,kuna wanaokufa kila siku kwa kukosa huduma za msingi km hospital,chakula n.k,naamini kwa kuandika kwenu basi nchi yetu itapata faida angalau,siyo unakurupuka mimi.naumwa kichwa unaandika NIMETOA MIMBA.. je hiyo mimba kanipa baba yako?? Au wakati natoa ulinisindikiza? Mimi.ni muislam dhahir na najua madhara ya kuua kiumbe.. so ww ulieandika ujinga huo,rudi shule na ujifunze kanuni za uandishi
Samahanini sana mashabiki zangu kwa mlokutana na hili,si wote wanaotembea mabarabarani ni wazima,"

LIKE her page here Salma Jabu Nisha

                                                  Salma Jabu Nisha

Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment