Pages

Wednesday, August 7, 2013

STANLEY MSUNGU AWAPA MAKAVU WASANII WANAOAJIRIWA KATIKA OFISI ZA WASAMBAZAJI NA KUBANIA KAZI ZA WENZAO.

Hiki ndicho kilichoandikwa na muigizaji huyo maarufu anayefanya vizuri kwasasa katika filamu "
"ole wenu wasambazaji wa movies mnaoajiri wasanii kwenye ofisi zenu, hao mnaowaweka ni masnitch wanataka kazi zao ndio ziuzwe tu wakati uwezo wao mdogo, mtaendelea kuangukia pua kila siku, kwa nini msiajiri wataalamu ndio wakague kazi za wasanii? najua mimi sina tabu ila kuna wenye shida hii pia najua kuwa masnitch watanimaind ila kipaji kanipa mungu halafu najituma sana hamna wa kunizuia kuwachana, wasanii wezangu hasa wachanga msikate tamaa mungu ndie kila kitu sina uwezo wa kuwasaidia wote ila one day yupo atakae ninyooshea kidole ingawa najua kuwa na mimi ni mwanadamu na si mkamilifu "kwa kuwa hakuna aliyeumbwa anajua" mungu niongoze nisimame kwenye mstari: ASANTE MUNGU"
 
Like our facebook page Swahili World Planet for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news

No comments:

Post a Comment