Pages

Wednesday, July 31, 2013

SIJUTII KUTIMULIWA BIG BROTHER AFRICA 2013: NANDO

Ammy Nando ambaye alikuwa mwakilishi  wa Tanzania katika shindano la Big Brother Africa 2013(The Chase) leo amehojiwa katika kipindi cha XXL cha Clouds fm na kusema " I live my life with no regrets"  na  kuongeza:

“Sitaki kufikiria  matatizo wala nini, kilichotokea ndio kimetokea...


"Najipanga upya ili  niendelee na maisha mengine. Vingapi vizuri 
vimetokea nyuma ? 

"Tokea  nilipokuwa mtoto mdogo nani alikuwa ananijua? Sasa hivi nipo peace , nashukuru kwamba mmenipokea vizuri. 


"Naendelea na maisha, uzuri nimepata platform ya kutengezeza jina langu, kwahiyo naenda hivyo hivyo mpaka huko ntakapofika.”



Nando alikuwa anapewa matumaini ya kuingia final na hata kutwaa zawadi ya kitita cha dollar za kimarekani.

Like our facebook page Swahili World Planet for more updates about Swahili movies' latest news, gossip, celebrities, features, fashions plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news

No comments:

Post a Comment