Wolper |
Kupitia mtandao mmoja wa kijamii leo Wolper ameandika.....
"Tukio lililoniuma Nikutokuudhuria katika furaha ya milele kwa my dada kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu lakini wote ni binadamu hatuwezi kupanga mpaka Mungu apange ..nafurahia furaha yako my dada ...Mungu akulindie ndoa yako love you saana"
Lucy Komba na mumewe katika harusi yao
Like our Facebook page Swahili World Planet for more updates about Tanzanian movie stars' latest gossips, news, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.
No comments:
Post a Comment