Pages

Thursday, April 10, 2014

Jini Mahaba Linanifanya Nipendwe Zaidi Na Wanaume Na Kushindwa Kuwakatalia: Lulu

Vile vituko vya rejareja kutoka kwa Lulu haviishi na wala havielekei kuisha leo au kesho !. Sasa Lulu anadaiwa kukiri kuwa ana jini mahaba ambalo linamsumbua sana katika mapenzi na ndiyo sababu ya kupendwa sana na wanaume.
Akizungumza na TZA1961 Lulu alisema "Hakuna anayeweza kukubali kufanya ngono kama kuku, mara nyingi nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na wanaume nisio wajua na baada ya kuuliza nikaambiwa ni jini mahaba na hili limekuwa likinitesa na limepelekea niwe na mvuto wa kupendwa zaidi na wanaume ambao  baadhi yao huwa nashindwa kujizuia kuwapa uroda"

                                                                                           Lulu



Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

1 comment:

  1. Mhh, pole sana, kamuone kiongozi wako wa dini,atakusaidia

    ReplyDelete