Pages

Wednesday, February 19, 2014

NANI ZAIDI: MTUNISY OR RAMSEY NOUAH ?


                                               Mtunisy na Ramsey Nouah


Nice Mohamed(Mtunisy) na Ramsey Nouah wote ni wasanii maarufu wa filamu barani Afrika. Ramsey Nouah ni muigizaji kutoka Nigeria huku Mtunisy akiwa muigizaji wa Tanzania. Hata hivyo baadhi ya watu wanadai kuwa mastaa hawa wawili wanafanana kimuonekano, utanashati na hata kiugizaji ikidaiwa kuwa wanacheza vizuri hasa nafasi za kimapenzi katika filamu. Ukiachilia mbali kiwango cha umaarufu wao na idadi ya filamu walizocheza, unadhani nani mkali zaidi katika uigizaji na suala zima la utanashati?



Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

6 comments:

  1. Mtunisy has more good looks than Ramsey but for acting i think Ramsey is more than Mtunisy. am Gilbert from Kenya

    ReplyDelete
  2. weee Mtunisy ni handsome la ukweli yaani nikimuona tu kwenye filamu huwa natota yale maeneo Ramsey ameshazeeka sasa hivi tofauti na zamani. jamanii Mtunisy nakupendaaa

    ReplyDelete
    Replies
    1. mdau umenena hata mimi nikimuona Mtunisy huwa nachanganyikiwa sijielewi yaani.Ramsey ameshatumiwa sana na wasichana wa Igbo huko kwao mpaka amezeeka mapema khaa

      Delete
  3. Ramsey alikuwa zamani sio sasa kazidiwa na Mtunisy ila ana act vizuri kwenye movie zao za nigeria

    ReplyDelete