Mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha DTV, Peniel Mungilwa ambaye
ni zilipendwa wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond
Platnum amesema katika maisha yake haitatokea akamdharau kwa kumkashifu
hata kama si wake tena.
Akizungumza na
Globalpublishers Penny alisema japo kwa sasa
ametofautiana na Diamond aliyeweka wazi kwamba yupo na Wema Sepetu
hawezi kuwa na chuki dhidi yao.
“Naapa kwa Mungu wangu katika maisha yangu haitatokea kamwe
nikamdharau Diamond, haijalishi yupo na nani kwa sasa, thamani yake
kwangu itabaki palepale hamuwezi jua namheshimu kiasi gani yule mtu,”
alisema Penny.
Diamond na Penny enzi za mapenzi yao
Follow us on twitter Swahili World Planet and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP
for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities,
features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and
Nollywood news, life styles news and more.
we mpuuzi kubali matokeo mtabaki kuchezewa kila siku na hicho kidume chenu na mtakufa na ukimwi washenzi nyie, wanawake gani hamna maamuzi utafikiri wanaume wamekwisha loh
ReplyDeleteNimekupendaje anonym hapo juu, Wema na Penny ni mbululaz tu kwa kujishusha kwa mwanaume mkware kama Diamond
ReplyDelete