Pages

Thursday, December 26, 2013

MAPENZI YA DIAMOND NA WEMA SEPETU SI KIFICHO TENA !?

Diamond na Wema Sepetu hakuna ubishi ni wapenzi rasmi kama zamani na Peniel Mungilwa hana chake kutokana na ishara za wawili hao kuwa penzini waziwazi. Habari mpya ni kuwa show ya Diamond jana ilipambwa na Wema Sepetu jukwaani kwa kuimba pamoja huku watu wakifurahia wawili hao kuwa jukwaani wote. Angalia picha hapo chini ilivyokuwa kwa Wema na Diamond jana...........

Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment