Pages

Thursday, September 12, 2013

H.BABA NA FLORAH MVUNGI WAMPATA MTOTO WA KIKE NA KUMUITA TANZANITE.

Tanzanite
Wasanii maarufu nchini H Baba na mkewe Frolah Mvungi wamefanikiwa kupata mtoto wa kike jana jioni majira ya saa 12:30 katika hospitali ya
Maria Stope iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam.

Kama unakumbuka hapo awali H Baba alisema kama akifanikiwa kupata mtoto wa kike au wa kiume basi atampa jina la 'Tanzanite' ambalo ni madini yanayopatikana Tanzania pekee duniani, hatimaye wanandoa hao wamefanikiwa kumpata mtoto wa kike na kumpatia jina la Tanzanite.


                          H.Baba na Florah 
  Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood new

No comments:

Post a Comment