Pages

Sunday, September 1, 2013

BATULI KURUDI SHULE KUONGEZA ELIMU IKIWA MOJA YA MIKAKATI YAKE YA KUFANYA FILAMU KIMATAIFA ZAIDI.

Actress Yobnesh Yusuph(Batuli) yupo katika mikakati ya kuajiri meneja ambaye atafanya nae kazi kitaalam zaidi na sio meneja wa kukaa naye na kunywa pombe kwa mujibu wake mwenyewe. Pia muigizaji huyo yupo katika mikakati ya kurudi shule ili kuongeza elimu yake ikiwa ni moja ya malengo yake ya kufika mbali zaidi katika kazi zake za filamu. "Ili nifike mbali lazima nisome, lazima niongeze taaluma yangu" alisema muigizaji huyo aliyejaaliwa mvuto. Pia Batuli anatarajiwa kufanya project flani na wasanii zaidi ya watano wa kimataifa hivi karibuni  hivyo muda ukifika utawajua hapa hapa SWP.

Batuli kulia akiwa na Halima Yahaya(Davina)
Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

2 comments: