Pages

Thursday, August 22, 2013

BATULI AIHAMASISHA JAMII KUSAIDIA WATOTO YATIMA WALIOKUWA WAKISAIDIWA NA KANUMBA.

Kupitia facebook actress huyo maarufu aliandika hivi na kuambatanisha picha hiyo hapo chini "Watanzania hiki ni kituo cha Watoto Yatima kipo Bunju, mlezi wa kituo anaitwa Aunt Halima, Guyz watoto ni wadogo sana na mlezi huyu ameniambia kimbilio lake lilikuwa ni kwa Hayati Steven Kanumba anasema ndio alikuwa akiwaletea watoto hao kwa asilimia 80 kituo kina watoto 95, show love kwa kutoa ulichojaaliwa kwa watoto hawa ni wadogo sana, tuwape support wafikie malengo yao namba za mlezi ni 0715 720022 tutoe tulichojaaliwa"

Kama umeguswa na watoto hao basi unaweza kuwasiliana na mlezi wao kupitia namba hizo hapo juu

                                                                    Batuli

 Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news

3 comments:

  1. Very nice big up mama

    ReplyDelete
  2. Kitu kikubwa sana ongeza bidii mpenzi

    ReplyDelete
  3. KAZA BUTI KUTOA NI MOYO ILA UHAMASISHAJI HUO NI BORA ZAIDI YA CHOCHOTE ENDELEA NA MOYO HUO HUO

    ReplyDelete