Pages

Saturday, August 24, 2013

AMANDA AKOMA KUMTANGAZA MPENZI WAKE HADHARANI KWA HOFU YA KUIBIWA NA WADADA WA MJINI.

Amanda amabye ni muigizaji maarufu anayefanya vizuri kwasasa katika filamu amesema kuwa amekoma kumtangaza hadharani mpenzi wake kwa maana baadhi ya wanawake wa kibongo wana tabia ya kuibiana mabwana baada ya kujua unatoka na mwanaume flani licha ya kuwa kabla ya kutoka nae hawana habari nae. "Daah! Nimekoma, sitatangaza tena, wasichana wa Kibongo wamezidi, unakuta mwanaume kabla hujawa naye kimapenzi hakuna mtu anayeshughulika naye lakini wakisikia uko naye ndiyo wanamsaka, kwa sasa nikija kumtangaza  mchumba basi ujue ndoa soon" alisema Amanda akizungumza na Globalpublishers.

Hivi karibuni Amanda alimwagana na Bwana Misosi ambaye ni mwanamuziki wa Bongofleva.

Amanda
Like our facebook pages Swahili World Planet Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news

No comments:

Post a Comment