Pages

Tuesday, August 27, 2013

ACTRESS AUNT EZEKIEL ACHANWA VIBAYA NA CHUPA AKIWA CLUB.

Actress maarufu Swahiliwood Aunt Ezekiel amechimbwa na kitu chenye ncha kali kinachodaiwa kuwa chupa katika mkono wake wa kushoto. Tukio hilo lilitokea juzi katika ukumbi wa Club Billicanas wakati Wema Sepetu akitambulisha wasanii wapya wa Bongofleva. Habari ambazo bado sio rasmi ni kuwa huenda muigizaji huyo alikumbwa na tukio hilo hatari kutokana na issue za kimapenzi yaani kugombea mwanaume siku za nyuma au sasa. Tutakujuza zaidi kinachoendelea. Ugua pole Aunt. Angalia picha chini jinsi actress huyo alivyojeruhiwa.......

Mkono uliojeruhiwa kabla ya kufungwa
                                                 Baada ya kufungwa
Like our facebook pages Swahili World Planet Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news

2 comments:

  1. makubwa!!!na tunasubiri mtujuze sio mkae kimya

    ReplyDelete
    Replies
    1. usijali tunafuatilia na tutawaletea kilichotokea

      Delete