Pages

Friday, April 26, 2013

MASTAA 20 WA TANZANIA WENYE USHAWISHI MKUBWA KWA MUJIBU WA BONGO5.

Bongo5 moja ya mitandao maarufu ya burudani nchini imetoa orodha yake ya mastaa 20 wenye ushawishi mkubwa(20 most influential stars). mastaa hao wanatoka katika urembo, mitindo, uigizaji na muziki huku Wema Sepetu akiwa ndiye kinara kwa kushika namba 1. Wengine ni Masanja, Vanesa Mdee, Madam Rita, Jacob Stephen(JB), na wengineo. kwa msaada zaidi ingia hapa uone list hiyo kwa mujibu wa mtandao huo www.bongo5.com


3 comments:

  1. Mi JB asipokuwepo kwenye movi walahi CD hiyo sinunui, Nampenda sana JB anaigiza vizuri na anauvaa uhalisia.

    ReplyDelete
  2. Ina maana temeke muamasishaji mmoja tu......! Jokate mwegelo! Nature je........! Au temeke atuamasishi

    ReplyDelete
  3. Ngoma ikivuma sana haipo mbali kuraruka

    ReplyDelete