Tamasha kubwa na la kihistoria lililopewa jina la "USIKU WA MASTAA WA FILAMU TANZANIA" linakuja. Litafanyika Dar live tarehe 26 mwezi huu na kiingilio kikiwa ni sh. 7000/= kwa viti vya kawaida na sh.1500 kwa upande wa viti maalum.mastaa kibao watakutana na mashabiki wao na kubadilishana mawazo na pia burudani kedekede zitakuwepo. so it is a must not to miss just andaa pochi yako.......
No comments:
Post a Comment