Friday, October 24, 2014

Urafiki Wa Wema Sepetu Na Aunty Ezekiel Wadaiwa Kuota Mbawa.

Aunty Ezekiel na Wema Sepetu
New Gossip zinadai kuwa Wema Sepetu na Aunty Ezekiel wametibuana na sio best friends tena, habari hizo kwa mujibu wa gazeti moja zinasema chanzo cha ndani toka kwa wawili hao zinadai kuwa Wema na Aunty walikwaruzana hivi juzi kati kabla ya Wema Sepetu kwenda nchini China
kibiashara ambapo bado yupo mpaka sasa na kumtosa shoga'ke huyo Aunty Ezekiel. Katika safari hiyo Wema ameongozana na Martin Kadinda na Petitman.

Aunty alipoulizwa na paparazi wa gazeti hilo hakutaka kulizungumzia suala hilo kwa undani ila alisema kuwa sio kila sehemu lazima aongozane na Wema kwani yupo busy na kazi na mambo yake binafsi.


Like our Facebook page Swahili World Planet for more updates about Tanzanian movie stars' latest gossips, news, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news.

No comments:

Post a Comment