Pages

Saturday, March 29, 2014

Steve Nyerere Adaiwa kuwa Mnafiki Kuwapatanisha Uwoya Na Wopler Huku Akiwa Katika Beef Na Batuli, Batuli Afunguka Live.

Batuli
Steve Nyerere ambaye ni muigizaji wa filamu Swahiliwood na pia mwenyekiti wa kundi la Bongo Movie anadaiwa kuwa mnafiki kuwapatanisha Jackline Wolper na Irene Uwoya ambao walikuwa kwenye beef la muda mrefu huku yeye mwenyewe akidaiwa kuwa kinara wa kuanzisha mabifu yasiyokuwa na kichwa wala miguu na wasanii wenzake akiwemo Yobnesh Yusuph "Batuli". Chanzo kimoja kikizungumza na Swahiliworldplanet kilisema kuwa " Steve Nyerere ni mnafiki kupitia uongozi wa kundi lao la Bongomovie, anajidai kuwapatanisha Wolper na Uwoya huku akiwa kwenye bifu la kijinga na Batuli, ni mtu wa mabifu yasio na maana na wasanii wenzake, tunaomjua tunamdharau tu" kilisema chanzo hicho ambacho kipo ndani ya tasnia ya filamu nchini na pia ndani ya kundi la Bongo Movie.
Baada ya kurushiwa habari hizo ilibidi kumtafuta Batuli ambaye anatamba katika filamu, Batuli alikubali kuwa hayuko kwenye maelewano mazuri na Steve huku akidai Steve ndiye chanzo cha bifu aliloliita la kijinga.
"Ni kweli  mimi na Steve Nyerere hatuna maelewano mazuri kwa sasa kiisa ni cha kijinga sana, Steve alinipigia simu akinipa taarifa ya kuwa kanipanga kwenye movie yake ambayo kawashirikisha Bongo movie wengi sana, ambapo alidai ya kuwa hata malipo atayafanya baada ya kuuza movie hiyo nikakubali kwa sababu kwanza ni msanii mwenzangu, pili movie ndio kazi yangu, basi baada ya siku kadhaa Steve akanipigia simu akaniambia niende nika-shoot nakumbuka ilikuwa mchana nikashangaa sana kwa sababu kabla mtu haja-shoot huwa kuna maandalizi ambayo mhusika anatakiwa kuyafanya ambayo ni kwanza aijue story ya movie anayoenda kuicheza, baada ya kuijua story anaenda kuandaa nguo, viatu na vinginevyo vinavyotakiwa kutokana na story au script inavyosema"

Star huyo anayesifika kwa urembo aliendelea kwa kusema " Nikamuuliza Steve mbona unanikurupusha nije ku-shoot nitakuja vipi wakati sijui movie inataka nini? au na-shoot vipi? Uhalisia gani? na kwa taratibu za movie ni lazima mwenye movie awaite awape script kila mhusika kisha baada ya kusoma mkubaliane malipo  and msanii anaenda kujiandaa na kazi aliyopewa, Baada ya kumuuliza nakumbuka Steve aliwaka kwenye simu na kuniambia basi basi kisha akakata simu kiukweli nilikasirika"
Steve Nyrere
Star huyo aliyejipatia umaarufu na filamu ya Fake Smile aliingia ndani zaidi kwa kusema "kwanza alikosea kiutaratibu halafu akanikatia simu hii inaonyesha wazi Steve anataka amburuze mtu atakavyo, utovu wa nidhamu alionao mwenyekiti huyu wa Bongo movie mimi siwezi kuendelea kuburuzwa kama mzigo natambua thamani yangu na thamani ya wenzangu, ukimpa mtu heshima halafu yeye akurudishie dharau ni dhahiri ya kuwa mtu huyo hajui utu, sio mara ya kwanza Steve kunionyesha dharau na ni tabia yake kununiana na wasanii au kugombana na wasanii kwa vitu kijinga, Kutokana na hilo nimeyasikia mengi anayoongea juu yangu"

Batuli alimalizia kwa kusema " ninachoweza kusema mwenyekiti wa Bongo movie Steve Nyerere arudi shule akajifunze utawala, hakuna anayetaka kuburuzwa, watu huongea kwa kuelewana na sio kununiana kama wake wenza cha msingi angeanza kujipatanisha yeye na alionuniana nao kwanza halafu ndio apatanishe wengine, Mungu hampendi mtu mnafiki, Steve Nyerere hajui nini maana ya kuwa kiongozi"

Hata hivyo mtandao huu ulipojaribu kumtafuta Steve juhudi hazikuzaa matunda mpaka tunaadika habari hii 

                                                                     Batuli
Follow us on twitter Swahili World Planet  and Like our facebook pages Swahili World Planet and Bongomovies SWP for more updates about Swahili movies latest news, gossip, celebrities, features, beauty, fashions, music plus Hollywood, Bollywood and Nollywood news, life styles news and more

6 comments:

  1. Huyo Steve Nyerere inaonekana anajiona star zaidi ya wengine mashabiki tunaangalia uwezo wa mtu sio jina lake hongera dada Batulo kwa kukutaa kupelekeshwa kwanza sanaa yenyewe hajui kazi kuomba omba tu na kuwakiwadia wasanii wa kike kwa vigogo sikupendi wewe mwenyekiti ngono wa bongo movie batuli achana nae mpuuzi huyo,, Makaila wa kimara

    ReplyDelete
  2. Big up BATULI huyo STEVE NYERERE kazoea kuwauza kina UWOYA na WOLPER anadhani kila mtu anapenda ufuska mtupe kwenye jalala ananuka dhambi mbwa mfupi huyo hivi hao bongo movie walimchaguaje kiongozi bogus kama STEVE NYERERE hana akili huyu mbilikimo umatonya ndio unaomuweka mjini hana kingine kazi kutwa kucha kujipendekeza kwa viongozi na wafanya biashara mbalimbali ipo siku watamvisha vitenge wamwite wife ngoja utaona

    ReplyDelete
  3. Nikikuita Mr Steve Nyerere nitakuwa namkosea Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. I feel kukuita majina yafuatayo: Nguruwe dini zote zinamharamisha : Mbwa ila hata hili la mnyama mbwa naliona lina thamani cos anatulinda sijui nikuite nani. Hivi hii nchi kwanini hawakupigi marufuku kutumia jina la mwasisi wetu wakati una tabia mbaya inayoidhalilisha jina Nyerere. Una lipi kubwa mpaka uwadharau wenzako?!? Una mapembe?!? Au ukiingia msalani unatoa almasi?!? In your head kuna kinyesi eeeeh. Shamw on you kuna kipindi Jaqline Wolper alikuwa analalamika haya haya umelelewa wapi wewe kitimoto?!? Kwanza nakaa mtaa mmoja na wewe hapa kinondoni karibu na kwa Ben Kinyaiya una maringo kama una mali. I need to tell you something wewe shetani hata iweje huwezi kuwa kama Marehemu Steven Kanumba sikutegemea kama uliokata nao kuni unawaona kinyesi. Wakati inaumwa hawa wasanii wa kike walikuwa ndio liwazo lako wanaacha kazi zao wanashinda pale kwako kwenye joto kama tanuri. Nguruwe hufai kabisa wewe Steve Nyerere na nitakuchana live kitaani sijakupenda kabisa .

    ReplyDelete
  4. Ulaaniwe steve nyerere

    ReplyDelete
  5. A fool thinks himself to be wise my little sister Nyerere ni mpumbavu. I advice you my little sister stay away from foolish people or man like Nyerere hakuna cha kujifunza kutoka kwake or kwao

    ReplyDelete
  6. Wote mpo upande mmoja kwanini? And Nyerere change your altitude kama kweli upo hivyo

    ReplyDelete